Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SIASA. Onyesha machapisho yote
Inaonyesha machapisho yaliyo na lebo SIASA. Onyesha machapisho yote

Ijumaa, 14 Oktoba 2016

MAKOSA YA NYERERE YALITENGENEZA NYUFA ZA UTAIFA


Ni vigumu kuandika kwa lengo la kumkosoa mtu anayeheshimiwa na wengi kiasi cha kuitwa Baba wa Taifa la Tanzania na mengi mazuri ya nchi yetu ikiwamo amani, umoja na mshikamano ambavyo vinatajwa vilitokana na uongozi wake mzuri ulioweka misingi imara ya utaifa na maendeleo.
Inakuwa ngumu unapokusudia makala yako itoke kipindi ambacho watu wanakumbuka kifo chake kwa matamasha, mikutano, sherehe, huku wito ukitolewa kuzidi kumuezi ...
Tazama Zaidi

MAGHARIBI WALIVYOANDIKA KUHUSU KIFO CHA NYERERE


Wakati Watanzania tukimkumbuka Mwalimu, nimeona nirejee nyuma hadi mwaka 1999 ili kuangalia majarida ya magharibi yalivyoandika mara baada ya kifo chake. Kufanya hivi ni kukumbuka mabaya yaliyozungumzwa kuhusu Mwalimu ili tuyajadili madai haya na kutufanya tuyaenzi mazuri yake.
Jarida linalozungumzia watu maarufu duniani lijulikanalo kama Forbes, baada ya kifo cha Mwalimu liliandika hivi “The death of Julius Nyerere, African independence leader and longtime dictator of Tanzania, evoked a flood of encomiums worldwide. The praise is misplaced. Nyerere’s approach devastated much of postcolonial Africa (Forbes, 1999).http://www.mwananchi.co.tz/…/1597592-3416820-mqy…/index.html